
News
Read our latest news, corporate updates, and key developments.
Zanzibar Insurance Corporation (ZIC) inampongeza kwa dhati Ndugu Jape U. Khamis kwa kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika. Uteuzi huu ni ishara ya imani na kutambuliwa kwa uwezo, uzoefu, na mchango wake katika kuimarisha utendaji wa taasisi.
ZIC inaamini kuwa chini ya uongozi wake, shirika litaendelea kuimarisha mifumo ya utawala bora, kuboresha utoaji wa huduma za bima, na kuongeza ufanisi wa kiutendaji kwa manufaa ya wateja, wadau, na maendeleo ya sekta ya bima kwa ujumla.
Shirika linamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake mapya na linatoa ushirikiano kamili ili kuhakikisha malengo ya ZIC yanafikiwa kwa mafanikio.
ZIC inaamini kuwa chini ya uongozi wake, shirika litaendelea kuimarisha mifumo ya utawala bora, kuboresha utoaji wa huduma za bima, na kuongeza ufanisi wa kiutendaji kwa manufaa ya wateja, wadau, na maendeleo ya sekta ya bima kwa ujumla.
Shirika linamtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu yake mapya na linatoa ushirikiano kamili ili kuhakikisha malengo ya ZIC yanafikiwa kwa mafanikio.
More News
For all your Insurance requirement please contact Zanzibar Insurance Head office in Zanzibar, Zonal offices and our intermediaries through out the country.
Useful Links
Contacts
- +255 659 072 500
- +255 80 000 8005
- inbound@zic.co.tz
- zichq@zic.co.tz
- support@zic.co.tz
Our Head Office
Bima House No: 1 Mpirani-Street
Mlandege Road P.O.Box 432
71102 Urban West, Zanzibar




